Thursday 18 October 2012

ACTRESS RANI MUKHERJI AMERUDI KIVYENGINE KATIKA ULIMWENGU WA BOLLYWOOD....

Amepotea kwa muda katika screen lakini kwa sasa amerudi kivyengine tena na utamuona hivi karibuni katika filamu mpya kadhaa ikiwemo Aiyaaa’ na ‘Talaash.’

Si mwengine ila ni actress Rani Mukherji.

Bi. Rani amepinga madai ya ndoa yake na 'Film Maker' Aditya Chopra.

Duru za hapa na pale ziliarifu kuwa bibiye huyo ashaolewa tayari na mchumba wake Aditya Chopra.


Bi. Rani amesema kuwa hajaolewa kwa sasa na ni Mungu pekee ndio muamuzi mkuu.



“My name has been linked with several people, but ‘upar waala' (god) will decide who will become my life partner,” 


“The media can't even decide which year the wedding took place. Was it 2007, or 2009, or 2012? Let them (media) make up their mind first,"


“I am fortunate that the people of this country consider me as their daughter and they are worried about my wedding. But birth, death and marriage are in the hands of ‘upar waala' and what is ordained, shall happen,” 

“As far as my wedding with Aditya is concerned, I can only say, ‘Main toh abhi kunwaari hoon' (I am still unmarried),” anasema Bi. Rani.
 
Akizungumzia kuhusu filamu yake mpya kwa sasa 'Aiyaaa' , Bi Rani anasema, "Aiyyaa' is one such risk that I have taken because not only the script is whacked-out, but also the filmmaking style that Sachin has adapted is very different to what our Hindi audience is used to watching,”

“I am not talking about just a section of people in the city. When you see pan India , every girl wants to be independent and make her choice in terms of a life partner. Unfortunately, some girls don't have the liberty to make that choice because they are burdened with the thought that this is what they have to follow,” 

“Not only young girls, but mothers and grandmothers, who have been through this situation in their lives, will relate to my character,” anasema Bi. Rani.

No comments:

Post a Comment