Thursday 25 October 2012

KATWA KITU YAKO NA MALKIA WA MIPASHOOOO KHADIJA KOPA MWEZI UJAO HUKO MOMBASA........

Ni BAYANA kuwa Malkia wa Mipasho wa ukwee-eh Bi. Khadija Kopa atafanya ziara ya kipekee huko mjini Mombasa kuanzia mwezi ujao.

Lengo kuu ni kukupa wewe mpenzi wa taarab RAHA mpaka vichochoronii katika bonge la tamasha la 'Taarab weekend' litakalofanyika EXCLUSIVE huko TROPICANA CLUB.

Miongoni mwa vibao utakavyopata kuskia LIVE BILA CHENGA ni Mjini Chuo Kikuu, Full Stop, Top In Town miongoni mwa Mirindimo AJAB ya taarab....Chezea MAMA na majembe yake???UTALALA HOIII....Kazi kwako swahibaaaaaaaaa heheheyaaaaaaa...... 

Yatakayofuata NEXT:

MASHAUZI CLASSIC KUTUA MJINI MOMBASA MWEZI UJAO???????.....

NDOA YA MARIAM KHAMIS YAVUNJIKA,

MWASITI MBWANA ASIMAMISHWA KAZI KUTOKA JAHAZI,

THABIT ABDUL AIBUKA NA KANDA YA VIDEO YA KIBAO CHAKE LATEST ALICHOMSHIRIKISHA MWANAHAWA CHIPOLOPOLO 'HATUNA HABARI,'

BONGE LA TAMASHA KUFANYIKA MWEZI UJAO KUADHIMISHA ZAIDI YA MIAKA 10 YA KIPINDI CHA TAARAB 'MITIKISIKO YA PWANI' KINACHOMILIKIWA NA RADIO TIMES TANZANIA,
 
NITAKUPASHA MIKAKATI YA BENDI LA T MOTO YA KUZINDUA ALBAMU YAO (YA PILI) MPYA YA 'DOMO LA UDAKU' HUKO MJINI MOMBASA,

HATMA YA SULTWANI WA MIRINDIMO DR. MALIK IMEFIKIA WAPI BAADA YA KUFANYIWA UPASUAJI???....KAA MKAO WA KULA.
 



No comments:

Post a Comment