Sunday 23 December 2012

ISHA MASHAUZI AKIRI YUPO KWENYE MAHUSIANO ILA NDOA BADO SANA....

MKURUGENZI wa kundi la Mashauzi Classic, Isha Mashauzi, amekiri kuwa baada ya kuachana na mumewe, sasa hivi yupo kwenye mahusiano mapya na mwanaume mwingine.

Akiongea kwenye kipindi cha Tagz Weekly cha DTV hivi karibuni, Isha alisema anaye mpenzi mpya ambaye anampenda sana, wanasaidiana na kusikilizana.

Alipoulizwa kuhusu ndoa, Isha alisema ndoa inapangwa na Mungu, ila kwasasa bado sana.

Courtesy of Salut5

No comments:

Post a Comment