Sunday 6 January 2013

MY CHOICE 2013..........NA MAMBO BADOOO....!!

Uzinduzi wa albamu ya 9 ya JAHAZI Modern Taarab.
Toto la Matashtiti Mwa4 wa East African Radio na Lady F wa Pwani FM ndani ya Mwananyamala Dar es Salaam Tanzania.
Lady F na Hawaa wa ITV ndani ya Travertine Hotel Magomeni Dar es salaam Tanzania.
Jahazi Modern Taarab.
Lady F na kundi zima la JAHAZI.

Lady F na Malkia Leila Rashid na kunzi zima la JAHAZI.
Mfalme Mzee Yussuf akizindua rasmi album ya Wasiwasi wako....
Mfalme Mzee Yussuf akiimba LIVE wimbo wake wa Wasiwasi Wako.....
Mzee Yussuf akirindima kwa raha zake na wana kiduku...
Malkia Leila Rashid.....
Leila Rashid akiimba LIVE wimbo wake wa Sitaki Shari.....
A closer look @ Malkia Leila Rashid.....
Chiriku Original Khadija Yussuf kuelekea stejini.....
Khadija Yussuf akirindima na wana kiduku na wimbo wake Mambo Bado....
Mama shughuli Fatma Ali....
Fatma Ali jukwaani akiimba wimbo wake Hata Bado Hujanuna....
Mtoto Pori Moh'd Ali akiimba wake LIVE kwa jina la Kazi Mnayo....
Mwamuonaje Mtoto Pori akirindima na mashabik wake jukwaani.....
Rahma Machupa...
Mcharuko wa ukwee Fatma Mahmud....
Tabasamu la kumwaga Jokha Kassim, Mkurugenzi wa T Moto Amin Salmin na Lady F....
Lady F na kundi zima la T Moto Dar es Salaam Tanzania....

No comments:

Post a Comment