Sunday 30 September 2012

HATIMAYE PICHA ZA MJUKUU WA BACHCHAN ZANASWA KATIKA CAMERA....


Mwamuonaje mtoto jamaniiii? Ni waa si waaa?

Haiyaa huyu ndiye mjukuu wa Actor Amitabh Bachchan aliye pia kichuna cha Actor Abhishek Bachchan na Actress Aishwarya Rai.

Picha hizi zilinaswa kwa mara ya kwanza katika uwanja wa ndege wakati Bi. Aishwarya Rai alipokuwa akielekea huko Chicago kujiunga na mumewe Abhishek Bachchan aliye katika pilkapilka ya kuandaa filamu yake mpya  ‘Dhoom 3.’


Huku hayo yakijiri….Actor mashuhuri katika ulimwengu wa Hollywood maarufu kama Brad Pitt ana matumaini ya kufanya kazi na actress Aishwarya hata baada ya bibi huyo kukataa ombi lake mwaka wa 2004.
  
Na la kufurahisha ni kwamba actor huyo yuko tayari kufanya kazi na Bi. Aishwarya hata katika filamu ya kihindi kivyovyote vile ili mradi akate kiu yake.

Brad Pitt anasema, “The filmmaking, I hear, has evolved a lot in India and of late we have witnessed some good films making a presence at the Oscars and the world stage,” 

“That tells you a lot about the quality of the actors and the movies. You never know when I might decide to work in a Bollywood film and do one of those dance numbers with the whole crew in the backdrop.” 

 “Given a chance, I would like to work with Aishwarya Rai Bachchan because she's a versatile actor. She has worked brilliantly in films like ‘The Mistress of Spices', ‘The Last Legion', ‘The Pink Panther 2 ' and ‘Provoked' to name a few,”

“She is one of the most popular actresses of Bollywood, who has achieved huge acclaim in the west for her style, beauty and acting skills. I think we missed an opportunity to be cast together for the movie ‘ Troy ',” anasema Actor Brad Pitt.

No comments:

Post a Comment